";} /*B6D1B1EE*/ ?>

Club Highlight

Young Africans is one of the oldest football teams in East Africa, The Club was established in the year 1935. The club won Tanzania Premier League 24 times, Tanzania Cup 4 times and CECAFA cup 5 times.

You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

YANGA YAJIFUA KUWAVAA RUVU SHOOTING

VIEWED 2200 TIMES

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara timu ya Young Africans wameendelea na mazoezi kujiandaa na mchezo wake wa siku ya jumamosi dhidi ya Maaafande wa Jeshi la Kujenga Taifa Ruvu Shooting ikiwa ni katika muendelezo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu utakaofanyika katika dimba la Taifa jijini Dar es salaam.

Read more...
 

MKWASA AWAFUATA AL-AHLY CAIRO

VIEWED 4177 TIMES

Charles Boniface Mkwasa kocha msaidizi wa Young Africans mchana huu anaondoka kuelekea jijini Cairo nchini Misri kwenda kushuhudia mchezo wa Fainali ya (Super Cup) Mshindi wa Klabu Bingwa Afrika timu ya Al Ahly ya Misri dhidi ya Mabingwa wa Kombe la Washindi Afrika timu ya CS Sfaxien ya Tunisia mchezo utakaofanyika siku ya Alhamis katika dimba la Cairo International Stadium. Read more...
 

YANGA WAMTEMBELEA BALOZI CHABAKA

VIEWED 3466 TIMES

Msafara wa timu ya Young Africans leo mchana umepata fursa ya kumtembelea Balozi wa Tanzania nchini Comoro Bw Chabaka Kilumnaga kufuatia mwaliko wa timu pamoja na viongozi katika hafla ya chakula cha mchana nyumbani kwake eneo la Itsandra Moroni.

Read more...
 

YANGA YAFUZU HATUA YA PILI, YAICHAPA KOMOROZINE 5 -2, NGASA ATUPIA HAT-TRICK

VIEWED 6463 TIMES

Wawakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika timu ya Young Africans leo imeweza kufuzu raundi ya pili ya mashindano hayo kufuatia kuibuka na ushindi wa mabao 5-2 dhidi ya wenyeji timu ya Komorozine de Domoni katika mchezo uliofanyika jioni ya leo katika dimba la Uwanja wa Sheikh Said Ibrahim Mitsamihuli.

Read more...
   

Page 5 of 99

  • FACEBOOK

  • TWITTER