YANGA Vs Al AHLY KESHO
VIEWED 4642 TIMES
Mchezo wa kuwania kuingia hatua ya 16 bora wa Mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika kati ya wenyeji timu ya Young Africans dhidi ya timu ya National Al Ahly utafanyika kesho katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam huku tayari tiketi za mchezo huo zikinunuliwa kwa wingi na wapenzi wa soka kwa ujumla.
Read more...


