YANGA 1 - 2 MGAMBO
VIEWED 1727 TIMES
Young Africans leo imepoteza mchezo wake wa pili katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara baada ya kufungwa kwa mabao 2-1 na wenyeji timu ya Mgambo Shooting ya Handeni katika mchezo uliofanyika kwenye dimba la Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.
Read more...

