The Official Website of Young Africans Sports Club

YANGA KUIVAA OLJORO KESHO

VIEWED 1424 TIMES

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans kesho watashuka dimbani kusaka pointi 3 muhimu kwa kucheza na timu ya JKT Oljoro mchezo utakaofanyika kwenye dimba la Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.

Read more...
 

YANGA YAICHAPA 2- 1 KAGERA SUGAR

VIEWED 2003 TIMES

Young Africans imeendeleza wimbi lake la ushindi katika michezo ya Ligi Kuu Tanzania bara hatua ya lala salama baada ya kuichapa timu ya Wakata miwa Kagera Sugar kutoka mjini Bukoba kwa mabao 2-1 mchezo uliofanyika jioni ya leo kwenye dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Read more...
 

YANGA KUIVAA KAGERA SUGAR KESHO UWANJA WA TAIFA

VIEWED 1983 TIMES

Young Africans kesho itashuka dimbani kucheza na wakata miwa kutoka mjini Bukoba timu ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara mzunguko wa raundi ya 24, kipute kitakachofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Read more...
 

YANGA YAICHAPA JKT RUVU 5-1

VIEWED 2882 TIMES

Mabingwa Watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young fricans leo imeibuka na ushindi mnono wa mabao 5-1 dhidi ya timu ya Maafande wa Jeshi la Kujenga Taifa nchini JKT Ruvu katika mchezo uliofanyika kwenye dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Read more...
   

Page 1 of 104