
YANGA 2 - 0 ALTAY SK
VIEWED 2929 TIMES
Young Africans imemkaribish vizuri kocha mkuu mpya Hans Van Der Plyum leo baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya timu ya Altay SK iliyopo Ligi Daraja la pili nchini Uturuki katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika leo mchana katika viwanja vya Sueno eneo la Side Manavgat.
Read more...




















